Watu zaidi ya 100 wapokea tuzo za rais
Published on: December 12, 2017 09:07 (EAT)
Watu zaidi ya mia moja, wamepokea tuzo ya kitaifa ya rais, kwa sababu ya uzalendo wao kwa taifa hili na wakenya kwa ujumla. Mwanahabari wa runinga ya Citizen Jackie Maribe ni miongoni mwa waliopokea tuzo ya head of state commendation.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment