Watu zaidi ya 15 wamefariki kwenye tetemeko la ardhi, Tanzania
Published on: September 11, 2016 09:33 (EAT)
Watu zaidi ya 15 wamethibitishwa kuaga dunia kutokana na mtetemeko wa ardhi wenye uzito wa 5.7 katika vipimo vya rishta huko nchini Tanzania huku wengine zaidi ya 200 wakijeruhiwa. Waokowaji wanaendelea kuwasaka waliokwama katika vifusi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment