Watu zaidi ya 30 wajeruhiwa kwenye ajali mbili tofauti
Published on: January 02, 2018 07:51 (EAT)
Zaidi Ya Watu 30 Wanaendelea Kupata Matibabu Katika Hospitali Ya Machakos Level 5 Na Ile Ya Mwingi Level 4 Baada Ya Kuhusika Katika Ajali Mbili Tofauti Za Barabarani.
Ajali Hizo Zilitokea Katika Barabara Kuu Za Nairobi Kuelekea Mombasa Na Nairobi Kuelekea Mandera.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment