Wauguzi bado wanaendelea kugoma

Wauguzi watatu wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kuwafungulia wagojwa wa akili kutoka hospitalini. Naye mgombea ugavana kwa tiketi ya Wiper kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti aruhusiwa kuwania nafasi hiyo baada ya mahakama kuu kubatilisha uamuzi wa awali wa IEBC wa kumfungia nje.

Tags:

Nurses strike wauguzi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories