Wauguzi bado wanaendelea kugoma
Published on: June 21, 2017 08:37 (EAT)
Wauguzi watatu wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kuwafungulia wagojwa wa akili kutoka hospitalini. Naye mgombea ugavana kwa tiketi ya Wiper kaunti ya Machakos, Wavinya Ndeti aruhusiwa kuwania nafasi hiyo baada ya mahakama kuu kubatilisha uamuzi wa awali wa IEBC wa kumfungia nje.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment