Wauguzi kutoka kaunti 4 waandamana mjini Eldoret
Published on: July 12, 2017 09:14 (EAT)
Zaidi ya wauguzi elfu moja na mia mbili kutoka maeneo ya Uasin Gishu, Elgeyo Marakwet, Nandi na Trans Nzoia waliungana kwa mgomo wa umoja katika mtaa wa Eldoret kutokana na kutotiwa sahihi kwa mkataba wa makubaliano (CBA).
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment