Wauguzi waandamana katika kaunti tofauti
Published on: September 11, 2017 08:50 (EAT)
Wauguzi nchini wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya muungano wa magavana kutisha kuwapiga kalamu endapo wataendelea na mgomo wao. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Makori Ongechi, maandamano hayo yameshuhudiwa katika maeneo tofauti nchini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment