Wauguzi waendelea kususia kazi kote nchini
Published on: June 08, 2017 08:56 (EAT)
Wauguzi wanadai kuna njama ya kuwachosha na kususia mgomo wa wauguzi ulioingia siku yake ya nne. Kulingana na Maurice Opetu amabye ni naibu mweneykiti wa muungano wa wauguzi mkutano uliokuwa ufanyike mapema hii leo haukufanyika baada ya kuarifiwa kuwa waziri wa leba hakuwepo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment