Wauguzi wafutilia mbali mgomo wao

Mgomo wa wauguzi uliotia fora kwa zaidi ya miezi minne tangu mwezi Juni tarehe tano hatimaye umesitishwa. Licha ya kupuuzwa na serikali kwa makatakwa walioweka mezani wauguzi wametia sahihi mkataba wa kurudi kazini.

Tags:

Seth Panyako mgomo wa wauguzi nurses'Strike

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories