Wauguzi wanaogoma Meru wahimizwa kurudi kazini
Published on: October 20, 2016 11:42 (EAT)
Serikali ya kaunti ya Meru imewaagiza wauguzi wanaogoma katika hospitali ya mafunzo na rufaa ya Meru, warudi kazini mara moja, la sivyo wachukuliwe hatua kali za kisheria. Uongozi wa kaunti hiyo umekana madai kuwa uliwafuta kazi wafanyakazi 1,800 ambao wamekuwa wakigoma. Hata hivyo, katibu wa kaunti hiyo Julius Kimathi amesisitiza kuwa wanaogoma hawatalipwa mshahara wa mwezi huu wa oktoba.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment