Wauguzi wasema wataendelea na mgomo
Published on: September 23, 2017 08:30 (EAT)
Muungano wa wauguzi nchini sasa umesema kuwa mgomo wao ungalipo hadi siku ambapo mkataba wao wa makubaliano utatiwa sahihi na kusajiliwa mahakamani, hata baada ya Baraza la magavana kusema kuwa mgomo huo ni kinyume cha sheria.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment