Wauguzi wasema wataendelea na mgomo

Muungano wa wauguzi nchini sasa umesema kuwa mgomo wao ungalipo hadi siku ambapo mkataba wao wa makubaliano utatiwa sahihi na kusajiliwa mahakamani, hata baada ya Baraza la magavana kusema kuwa mgomo huo ni kinyume cha sheria.

Tags:

Seth Panyako Nurses strike mgomo wa wauguzi wauguzi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories