Wauguzi watangaza mgomo serikali isipowalipa
Published on: June 02, 2017 07:45 (EAT)
Viongozi wa muungano wa wauguzi nchini wametishia kuanzisha mgomo tarehe tano mwezi huu iwapo serikali kuu
pamoja na baraza la magavana hawatatia sahihi mkataba wa maelewano yao. Naibu katibu mkuu Maurice Opetu
pamoja na mwenyekiti wa KNUN Seth Punyako walidai kuwa mamechoka kuandaa mazungumzo yasiyozaa matunda.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment