Waumini waandamana mjini Nyeri
Published on: October 03, 2016 09:33 (EAT)
Mamia ya waumini wa kanisa la Kianglikana diosisi ya Mlima Kenya huko Nyeri hii leo walifanya maandamano ya amani katika mji wa Nyeri, kama njia ya kuonyesha umoja kwa Askofu Joseph Kagunda ambaye anakumbwa na kesi ya matamshi ya kuwaharibia sifa viongozi watatu wa dini. Watatu hao waliondolewa kwenye kanisa hilo baada ya kudaiwa kuendeleza mapenzi ya jinsia moja.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment