Wavinya Ndeti apinga kuchaguliwa kwa Mutua

Hatua ya mahakama ya kilele kutoa uamuzi uliofutilia mbali matokeo ya kura za urais kwenye kesi iliyowasilishwa na kinara wa Nasa Raila Odinga ijumaa wiki jana,huenda imepelekea viongozi tofauti wakiwemo magavana waliobwagwa kufika mbele ya mahakama kupinga matokeo ya kura yaliyowanyima ushindi.

Makori Ongechi anatuarifu…

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories