Wavulana wengi wamepita kuliko wasichana

Idadi ya wanafunzi waliohitimu kujiunga na vyuo vikuu imeendelea kupungua katika mtihani wa KCSE wa mwaka huu sasa ikiwa elfu sabini pekee. Hii ni kulingana na matokeo yaliyotolewa na waziri wa elimu Fred Matiang’i yakionyesha ni wanafunzi 142 pekee walionyakua alama ya kipekee ya “A”.

Tags:

Fred Matiang'i KCSE 2017

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories