Wawakilishi wa wadi huko Nyeri wamuuzulu Gachagua
Published on: September 02, 2016 09:08 (EAT)
Waakilishi wa bunge la Nyeri wamepitisha hoja ya kumtimua gavana wao Nderitu Gachagua baada ya waakilishi hao kukesha kwenye majengo ya bunge hilo. Waakilishi 32 walipitisha hoja hiyo dhidi ya 12 ambao waliamua kuondoka nje ya majengo ya bunge wakati wa kupiga kura
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment