Wawakilishi wa wadi kaunti Murang’a wazua balaa tena
Published on: January 16, 2018 08:32 (EAT)
Mwakilishi wa wadi mmoja amezuiwa huku wengine sita wakitolewa agizo la kukamatwa katika kaunti ya Murang’a baada ya kuzua kizazaa katika afisi za bunge la kaunti hiyo. Hii ni baada ya vikundi viwili vya wawakilishi wa wadi kutofautiana kuhusu uongozi mpya uliofaa kushika hatamu kwenye bunge la kaunti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment