Wawakilishi wa wadi kaunti Muranga wazua balaa tena

Mwakilishi wa wadi mmoja amezuiwa huku wengine sita wakitolewa agizo la kukamatwa katika kaunti ya Murang’a baada ya kuzua kizazaa katika afisi za bunge la kaunti hiyo. Hii ni baada ya vikundi viwili vya wawakilishi wa wadi kutofautiana kuhusu uongozi mpya uliofaa kushika hatamu kwenye bunge la kaunti.

Tags:

muranga mcas

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories