Wawaniaji wa ugavana na ubunge wawalisha stakabadhi zao
Published on: June 01, 2017 08:59 (EAT)
Tukigeukia masuala ya uchaguzi mkuu, leo ilikuwa zamu ya wawaniaji wa ugavana na ubunge kuwasilisha vyeti vyao kwa maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC, ili kuidhinishwa kugombea. Hata hivyo baadhi yao hawakudhinishwa kwa sababu ya kutotimiza matakwa ya IEBC
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment