Wawaniaji wa ugavana na ubunge wawalisha stakabadhi zao

Tukigeukia masuala ya uchaguzi mkuu, leo ilikuwa zamu ya wawaniaji wa ugavana na ubunge kuwasilisha vyeti vyao kwa maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC, ili kuidhinishwa kugombea. Hata hivyo baadhi yao hawakudhinishwa kwa sababu ya kutotimiza matakwa ya IEBC

Tags:

IEBC Nyadhifa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories