Waweru Mburu akumbukwa
Published on: September 29, 2016 10:05 (EAT)
Mtangazaji maarufu na mkuu wa Radio Citizen mojawapo wa radio stesheni zinazomilikuwa na kampuni ya Royal Media Services, Waweru Mburu amefariki. Waweru Mburu anayejulikana kwa kipindi chake Yaliyotendeka alifariki Jumatatu adhuhuri katika hospitali ya MP Shah jijini Nairobi ambako alikuwa amelazwa baada ya kuugua saratani ya tumbo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment