Wawili wakamatwa kwa kuzusha fujo Kisumu
Published on: September 14, 2017 08:53 (EAT)
Baraza la makanisa nchini NCCK leo hii limejitokeza kukashifu vikali rabsha zilizozuka hapo jana katika mkahawa wa Jumuia katika kaunti ya Kisumu. Machafuko hayo ambayo yalisababisha uharibifu wa mali ya thamani isiyojulikana pamoja na wizi wa mali, ulilenga kundi la wanawake wa dini waliokongamana ili kushauriana kuhusu wajibu wao katika kudumisha amani katika jamii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment