Wazazi na maafisa wa usalama wamelaumiwa kwa kukithiri kwa visa vya ubakaji
Published on: October 15, 2016 10:25 (EAT)
Huku visa vya ubakaji na mimba kwa watoto vikikithiri katika taifa hili watalamu wakijinsia wanahoji kuwa ukosefu wa sheria mwafaka kuhusiana na swala hili ndio kizingiti kukabili swala hili . Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi wazazi na maafisa wa usalama pia wamelaumiwa kwa kushirikiana na wanaotekeleza maovu hayo kwa kupokea rushwa ili kuwakinga washukiwa wanaotekeleza maovu hayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment