Wazazi Turkana watakiwa kutoa kipaumbele kwa elimu ya wanao
Published on: December 30, 2017 08:57 (EAT)
Katika karne ya 21 bado kadhia ya kupuuzwa elimu kwa watoto eneo la Turkana inaendelea kuwaumiza vichwa wanaharakati wa masuala ya elimu. Utamaduni wa wavulana kupewa majukumu ya kuchunga mifugo na wasichana kuozwa mapema unaendelea licha ya serikali kutangaza elimu ya bure ya msingi na upili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment