Wazazi wa Kelson wafurahia kuungana tena na mwana wao
Published on: January 11, 2017 08:26 (EAT)
Siku sita baada ya kupotea kwa Kelson Kimani hatimaye kijana huyo mwenye umri wa miaka 4 ameweza kujumuika na familia yake. Kufikia sasa watu saba wamezuiliwa katika Kituo cha polisi cha Thika ili kubaini waliomteka nyara.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment