Wazazi wa Kelson wafurahia kuungana tena na mwana wao

Siku sita baada ya kupotea kwa Kelson Kimani hatimaye kijana huyo mwenye umri wa miaka 4 ameweza kujumuika na familia yake. Kufikia sasa watu saba wamezuiliwa katika Kituo cha polisi cha Thika ili kubaini waliomteka nyara.

Tags:

Kelson

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories