Wazazi wa mtoto aliyepatikana na sindano 14 mwilini wakamatwa na polisi
Published on: December 04, 2017 08:18 (EAT)
Mtoto aliyepatikana na sindano 14 mwilini mwake hatimaye yuko mikononi mwa serikali huku polisi wakiwazuia wazazi wa mtoto huyo mwenye umri wa miezi kumi hadi pale uchunguzi wa polisi utakapobainisha iwapo ni kisa cha dhulma au la.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment