Wazazi wadai baadhi ya shule zimeongeza karo
Published on: January 04, 2017 08:48 (EAT)
Serikali imewaagiza wakurugenzi wa kaunti wa elimu kuchunguza madai ya kuongezwa kwa karo za shule na kisha kutuma ripoti kwa wizara. Haya yanajiri huku wazazi wakijipata pabaya kwa kulazimika kulipa karo za juu kinyume na kiwango kinachostahili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment