Wazazi wengi hawajui ni vitabu vipi watanunua

Huku mwaka mpya wa masomo ukikaribia, wazazi wameanza kufurika katika maduka ya jumla kununua vitabu na hata sare za shule. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Denis Otieno, hali ya suitafahamu ingali ipo kufuatia gharama ya masomo na kubwa zaidi ni kuhusu vitabu wanavyopaswa kununua kufuatia ujio wa mtaala mpya.

Tags:

KCSE back to school

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories