Wazazi wengi hawajui ni vitabu vipi watanunua
Published on: December 28, 2017 08:11 (EAT)
Huku mwaka mpya wa masomo ukikaribia, wazazi wameanza kufurika katika maduka ya jumla kununua vitabu na hata sare za shule. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Denis Otieno, hali ya suitafahamu ingali ipo kufuatia gharama ya masomo na kubwa zaidi ni kuhusu vitabu wanavyopaswa kununua kufuatia ujio wa mtaala mpya.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment