Wazee wa Kirinyinyaga wajitenga na shughuli ya kumtawaza Waiguru

Kundi la wazee katika kaunti ya kirinyaga sasa limejitokeza na kujitenga na hafla iliyokuwa ya kumtawaza aliyekuwa waziri wa ugatuzi Anne Waiguru hapo jana katika azma yake ya kuwania kiti cha ugavana cha Kirinyaga.
Wazee hao wanasema hafla hiyo ni kinyume na desturi za jamii yao, wakidai aliyemtawaza Waiguru alikuwa mtu binafsi na wala hakuwashirikisha kama ilivyodaiwa.
Aidha wanadai kuwa kulingana na mila na desturi zao lazima kiongozi apate Baraka za wazee ili wamfungulia njia kisiasa

Tags:

ANNE WAIGURU governor Kirinyaga wazee wa kikuyu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories