Wazee wa Wasomali huteua viongozi wa kisiasa
Published on: October 16, 2016 07:53 (EAT)
Mfumo mpya wa demokrasia ambao unawahusisha wazee wa jamii kuwateua viongozi kwa niamba ya wananchi unaendelea kuvutia msetowa hisia katika kaunti ya mandera. Wengi wanasema kuwa mfumo huo umepitwa na wakati. Gavana wa mandera Ali Roba sasa amesema kwamba atatetea kiti chake ifikapo uchaguzi mkuu kinyume na mapendekezo ya wazee kutoka jamii hiyo. Nasteha Mohammed na taarifa hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment