Waziri Amina Mohammed apigiwa upatu
Published on: January 28, 2017 09:23 (EAT)
Ujumbe wa Kenya jijini Addis Ababa Ethiopia uko mbioni kuongeza idadi ya uungwaji mkono katika uchaguzi wa mwenyekiti wa tume ya baraza la umoja wa Afrika-AU. Kufikia sasa mataifa kumi na tisa yameeleza nia ya kuunga mkono azimio la kenya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment