Waziri Mailu agiza wadau kwenye bima ya NHIF washauriane

Waziri wa afya, Daktari Cleopa Mailu, ameamuru kusitishwa kwa mfumo mpya uliokuwa umetolewa na shirika la kitaifa linalosimamia bima ya afya NHIF, kwamba wateja wanaotibiwa na kenda nyumbani watahudumiwa mara nne tu kwa mwaka.

Tags:

NHIF cleopa mailu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories