Waziri wa afya afunga Hoteli 2 hapa Nairobi

Mailu amesema hoteli za Jacaranda na San Valencia zitasalia kufungwa mpaka pale wenyewe watakapozingatia vigezo vipya vya usafi. Hata hivyo, wasimamizi wa hoteli ya Jacaranda wanasema kazi zao zinaendelea kama kawaida kwani wanazingatia viwango vya juu vya usafi.
Haya yanajiri huku serikali ikitoa tembe za usafishaji maji zitakazosambazwa bila malipo katika mitaa ya mabanda.

Tags:

cholera cleopa mailu Jacaranda hotel San Valencia wizara ya afya

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories