Waziri wa Afya na Katibu wake wadaiwa kukomoana
Published on: February 14, 2017 09:03 (EAT)
Waziri wa afya dakta Cleopa Mailu amemshutumu katibu katika wizara ya afya dakta Nicholas Muraguri kwamba haheshimu mamlaka yake. Kulingana na Mailu, Muraguri alikataa kuongoza kundi la maafisa wanne kutoka wizara hiyo waliotakiwa kufanya mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mgomo wa madaktari na badala yake akachagua afisa mwingine wa kumwakilisha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment