Wazoaji Taka Wapinga Utaratibu Mpya Wa Serikali,Nairobi
Published on: November 27, 2014 07:14 (EAT)
Wakusanyaji taka katika jiji la Nairobi leo wamefanya maandanano ili kupinga hatua ya serikali ya Kaunti ya Nairobi ya kuwakataza kuzoa taka katika baadhi ya mitaa ya Nairobi, na badala yake kazi hiyo kupewa kampuni moja ya kibinafsi . Waandamanaji hao walifululiza hadi kwenye afisi za gavana wa Nairobi Evans Kidero ili kulalamikia hatua hii. Mwanahabari wetu Tom Wanjala ana maelezo zaidi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment