Weldon Cheruiyot na bendi yake wazikwa huko Bomet
Published on: December 19, 2017 08:18 (EAT)
Maelfu ya watu walijitokeza katika kijiji cha Kamungei kaunti ya Bomet kuhudhuria mazishi ya mwimbaji maarufu Weldon Cheruiyot almaaruf kama Kenene International na bendi yake walioangamia baada ya kuhusika katika ajali wakielelekea Eldoret.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment