Weldon Cheruiyot na bendi yake wazikwa huko Bomet
Published on: December 19, 2017 08:18 (EAT)
Maelfu ya watu walijitokeza katika kijiji cha Kamungei kaunti ya Bomet kuhudhuria mazishi ya mwimbaji maarufu Weldon Cheruiyot almaaruf kama Kenene International na bendi yake walioangamia baada ya kuhusika katika ajali wakielelekea Eldoret.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment