Wenyeji wa kaunti ya Lamu wanaoishi msitu wa Boni walazimika kuhama makwao
Published on: August 22, 2017 08:54 (EAT)
Wenyeji wa kaunti ya lamu hususan kutoka msitu wa boni, wamelazimika kuyahama makao yao na kuishi katika kambi za wakimbizi katika eneo la witu.
Hii ni kufuatia amri ya kamishna wa kaunti hiyo ya lamu, Joseph Kanyiri, ambaye amesema lengo ni kutekeleza operesheni ya kupambana na wanamgambo wa kundi la kigaidi la alshabaab.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment