Wenyeji waandamana kutetea viongozi wa Eldoret

Hali ya taharuki ilitanda mjini Eldoret baada ya wakaazi  kuandamana wakisisitiza kwamba matamshi yaliotolewa na viongozi eneo hilo  ni ya haki na hivyo basi viongozi wao hawapaswi kuhangaishwa  kuandikisha taarifa. Wakati huo huo gavana wa kaunti ya Uasin Gishu Jackson Mandagor na mwenzake wa Elgeyo Marakwet Alex Tolgos wameshikilia kwamba msimamo wao ni ule ule kwamba lazima kiongozi au naibu chansela wa chuo kikuu cha Moi ni sharti atoke jamii yao.

Tags:

Moi University eldoret Alex Tolgos Jackson Mandagor prof laban Ayiro

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories