Wenyeji waandamana kutetea viongozi wa Eldoret
Published on: September 27, 2016 11:16 (EAT)
Hali ya taharuki ilitanda mjini Eldoret baada ya wakaazi kuandamana wakisisitiza kwamba matamshi yaliotolewa na viongozi eneo hilo ni ya haki na hivyo basi viongozi wao hawapaswi kuhangaishwa kuandikisha taarifa. Wakati huo huo gavana wa kaunti ya Uasin Gishu Jackson Mandagor na mwenzake wa Elgeyo Marakwet Alex Tolgos wameshikilia kwamba msimamo wao ni ule ule kwamba lazima kiongozi au naibu chansela wa chuo kikuu cha Moi ni sharti atoke jamii yao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment