Wetangula apinga hatua ya kuwahamisha walimu

Kinara mwenza wa muungano wa NASA Moses Wetangula amepinga kuhamishwa kwa walimu wa kuu wa shule za kitaifa akisema kuwa hatua hiyo inadunisha kazi ambayo baadhi yao wamefanya katika shule ambazo walikuwemo. Wetangula anasema kuwa baadhi ya walimu wakuu wametolewa kutoka kwenye shule zenye hadhi na kupelekwa kwenye shule zisizotajika tena katika kaunti tofauti.

Tags:

Fred Matiang'i Moses Wetangula tsc

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories