Wetangula apinga hatua ya kuwahamisha walimu
Published on: January 04, 2018 08:12 (EAT)
Kinara mwenza wa muungano wa NASA Moses Wetangula amepinga kuhamishwa kwa walimu wa kuu wa shule za kitaifa akisema kuwa hatua hiyo inadunisha kazi ambayo baadhi yao wamefanya katika shule ambazo walikuwemo. Wetangula anasema kuwa baadhi ya walimu wakuu wametolewa kutoka kwenye shule zenye hadhi na kupelekwa kwenye shule zisizotajika tena katika kaunti tofauti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment