Wizara ya afya sasa yamulikwa kwa ufujaji wa fedha
Published on: October 26, 2016 09:44 (EAT)
Waziri wa afya Dkt. Cleopa mailu amekiri kuwa uchunguzi unaendelea kuhusiana na kashfa ya shilingi bilioni tano katika wizara hiyo. Kashfa hiyo inayohusisha kufujwa kwa mali ya umma kupitia tovuti ya malipo ya serikali almaarufu IFMIS, inadaiwa kufanyika kwa kulipia bidhaa maradufu na kadhalika kuelekeza fedha ambako hakujaidhinishwa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment