Wizara ya afya sasa yamulikwa kwa ufujaji wa fedha

Waziri wa afya Dkt. Cleopa mailu amekiri kuwa uchunguzi unaendelea kuhusiana na kashfa ya shilingi bilioni tano katika wizara hiyo. Kashfa hiyo inayohusisha kufujwa kwa mali ya umma kupitia tovuti ya malipo ya serikali almaarufu IFMIS, inadaiwa kufanyika kwa kulipia bidhaa maradufu na kadhalika kuelekeza fedha ambako hakujaidhinishwa.

Tags:

wizara ya afya Nicholas Muraguri Kashfa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories