Wizara ya Kilimo yazindua mtego maalum wa viwavi jeshi
Published on: November 14, 2017 08:12 (EAT)
Serikali imepigwa jeki katika juhudi zake za kuwaangamiza viwavi jeshi ambao wamevamia maelfu ya ekari za mashamba sehemu mbalimbali humu nchini. Shirika la dunia la chakula na kilimo, FAO, limetia saini mkataba na serikali wa kutoa mitego ya kuuwa wadudu hao kwa wakulima.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment