Wizara ya Kilimo yazindua mtego maalum wa viwavi jeshi
Published on: November 14, 2017 08:12 (EAT)
Serikali imepigwa jeki katika juhudi zake za kuwaangamiza viwavi jeshi ambao wamevamia maelfu ya ekari za mashamba sehemu mbalimbali humu nchini. Shirika la dunia la chakula na kilimo, FAO, limetia saini mkataba na serikali wa kutoa mitego ya kuuwa wadudu hao kwa wakulima.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment