Zaidi ya ekari 3,000 zaharibiwa na viwavi Trans Nzoia

Huku msimu wa upanzi ukianza katika kaunti za Trans Nzoia na Bungoma ambazo hukuza vyakula kwa wingi katika taifa hili, wakulima wa mahindi  katika maeneo hayo tayari wameanza kukadiria hasara. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi mashamba ya maeneo hayo yamevamiwa na viwavi wanaokula mimea  na ambao kufiki sasa  tayari wameharibu zaidi ya ekari alfu tatu za mahindi.

Tags:

maize TRANS NZOIA army worms maize farming viwavio jeshi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories