Zaidi ya vijana 900 kunufaika na NYS, Garissa

 Zaidi ya vijana 900 kutoka kaunti ya garissa watanufaika na mpango wa kujiunga na huduma ya kitaifa ya vijana almaarufu nys kwa muda wa miezi mitatu ijayo. Akizindua mradi huo katika kaunti ya garissa naibu rais william ruto amesema kuwa serikali imetoa shilingi milioni 30 itakayowezesha mradi huo kuanzishwa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories