Ziara ya Magufuli Kenya

Ziara ya Rais Magufuli inajiri wakati ambapo nyufa za kidiplomasia zimeonekana kuzonga uhusiano wa kenya na tanzania, hata hivyo kufuatia mkutano baina ya Magufuli na mwenyeji wake Rais Kenyatta, sasa mambo huenda yakanyooka.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories