Zoezi la kumtafuta Naibu Jaji Mkuu laendelea
Published on: September 28, 2016 11:28 (EAT)
Shughuli ya kuwahoji wanaotafuta kuchukua nafasi ya naibu jaji mkuu ilifichua kukithiri kwa ufisadi katika idara ya mahakama na kwingineko nyumba 3 zateketezwa moto katika kijiji cha kapchemoiywo kaunti ya Nandi kufuatia kuwawa kwa mjane wa miaka 52 kutokana na ugomvi wa shamba.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment