Zoezi la kumtafuta Naibu Jaji Mkuu laendelea

Shughuli ya kuwahoji wanaotafuta kuchukua nafasi ya naibu jaji mkuu ilifichua kukithiri kwa ufisadi katika idara ya mahakama na kwingineko nyumba 3 zateketezwa moto katika kijiji cha kapchemoiywo kaunti ya Nandi kufuatia kuwawa kwa mjane wa miaka 52 kutokana na ugomvi wa shamba.

Tags:

JSC lydia achode Naibu jaji mkuu

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories