Zoezi la kuwasajili wapiga kura laanza rasmi kote nchini
Published on: January 16, 2017 08:49 (EAT)
Viongozi wa kisiasa kutoka maeneo mbalimbali nao wameanza shughuli ya usajili wa wapiga kura kwa kishindo. Vinara wa cord raila odinga, kalonzo musyoka na moses wetangula wameandaa mikutano mbalimbali hapa Nairobi wakiwarai wakazi kujitokeza kujiandikisha. Katika kaunti ya kiambu, baadhi ya wabunge wameanza mikakati ya kuhakikisha vitambuliosho vambavyo vingali kuchukuliwa na wenyewe vinawafikia, lengo likiwa kuzidisha idadi ya kura kabla ya uchaguzi wa Agosti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment