Zoezi la kuwatambua wahanga wa moto kuanza kesho

Shughuli ya kutambua maiti ya wanafunzi walioangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya upili ya Moi inatarajiwa kuanza kesho huku wazazi wote waliopoteza wanao watakiwa kufika katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Chiromo.

Saida Swaleh alikutana na familia hizo na kuanda taarifa ifuatayo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories